ZA UKWELI SANA

BAADA YA PICHA PICHA ZA UTUPU DESIRE LUZINDA AWA SOKO KUBWA UINGEREZA!!!! HAKAMATIKI!!! JONEE HAPA...

Desire Luzinda
Jina la Desire Luzinda sasa limeshika kasi kama moto wa kiangazi jijini London nchini Uingereza. Mwezi wa tatu Mdada huyo aliyevuma kwa picha za utupu na kubatizwa "El nino Desire Luzinda" atakuwa jijini humo kufanya shoo bab kubwa!!! !

Picha hizi zimezidisha mara mia umaarufu wa mrembo huyu ona hizi hapa..... ona na hizi

HAYA WADAU ULE MPAMBANO MTAMU KATI YA BYUTIFU ONYINYE NA THE BOSSLADY UMEHAMIA KWENYE RED CARPET... KAZI NI KWAKO

Diamond kwenye Red carpet South Africa
Ikumbukwe kwa katika tuzo za MTV MAMA, ubavuni mwa Diamond kwenye red carpet alikuwa ni Wema Sepetu aka Madam. 

lakini safari hii tofauti na kwenye tuzo za MTV MAMA, msichana aliyekuwa ubavuni mwa Diamond kwenye tuzo za Channel O ni Zari the BossLady – na hivyo kuthibitisha tetesi zilizovuma kuwa wawili hao ni wapenzi.

WEMA AMWAGA WINO
Baada tu ya tuzo hizo kwisha Wema alipost “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud,”.



VIPI MITOKO HIYO MIWILI???? EMB TUZIKAGUE KWA ZAMU...WEMA... ZARI .... TUHAKIKI

BREAKING NEWS!!!! BUNGE KUENDELEA LEO SAA TANA (5). KUNA JAMBO...

Hali tete bungeni mjadala wa Escrow



Bunge la Tanzania


Ni baada ya kikao cha jana usiku kuvunjika kwa wajumbe kutoridhika na maazimio ya wenzao, Spika aahirisha shughuli za bunge mpaka saa 5 asubuhi.

DIAMOND ACHEKELEA MATOKEO YA MPAMBANO WA WEMA NA ZARI MTANDAONI!!!!!

Mpambano wa Zari na Wema
Diamond ameonekana kupendezewa na hali inayoendelea kwa mashabiki wake hasa pale wanapoendelea kuwapambanisha Wema na Zari kuona nani zaidi. Kwa sasa mashabiki wengi wameendelea kuchuana kiasi cha kushindwa kujua nani ni mzuri zaidi ya mwenzake.

JIMAMA LIMEWAKWIDA VIJANA LINALOWADAI KWA KUNG'ANG'ANIA NYETI ZAO HADI NJEMBA ZIKATOA MAYOWE!!!!!!!!

Mama Ashura akidai hela yake kwa kugawa kipindo kwa wauza chips
Hivi karibuni mama mjasiriamali, aliyetajwa kwa jina moja la Mama Ashura ambaye ni mfanyabiashara wa viazi mviringo, anadaiwa kuwapa kipondo havi njemba watano kisa deni la viazi waliloshindwa kumlipa.

Baada kugawa kipondo havi sana kwa vijana hao ambao walianza kujichekeshachekesha kwa aibu huku kila mmoja akimtegea mwenzake amsogelee yule mama, ndipo mama Ashura alinyanyua beseni lilikuwa na chips na kuku karibu wa laki 2 na kutokomea nao huku akirusha vumbi barabara nzima!!!!

Kisanga hiki cha aina yake kipo chote hapa


MASTAA HAWAISHIWI MAMBO!!!! SIRI YA JOKATE KUGANDANA NA WANAUME KAMA LUBA IKO MIKONONI....

Jokate Mwegelo ameonekana kuwaganda sana wanaume

MWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi.


“Watu wengi wanasema mimi malaya kwa sababu ya ukaribu wangu na wanaume lakini ukweli ni kwamba kampani yangu ya kike kubwa ipo nje ya nchi, sina jinsi,” alisema Jokate.


source: gpl

AMA KWELI NZI HUFIA KWENYE KIDONDA!!!! MFANYABIASHARA MKUBWA AFARIKI AKIFANYA MAPENZI KWENYE GARI!!!!!



Visa vya kufanya mapenzi kwenye magari vinaongezeka
Bukoba. Polisi mkoani Kagera inachunguza kifo cha mmiliki wa ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas Night, Leonard Mtensa (50) ambaye inadaiwa alifariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye gari lake.


Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema Mtensa, ambaye alikuwa na mpenzi wake kwenye gari maeneo ya Buyekera, alifariki dunia kabla ya kufikishwa kituo cha afya cha ELCT Ndolage.
Alisema binti waliyekuwa naye kwenye gari anatokea mkoani Mara na kwamba tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana. Alisema baada ya gari lake kupekuliwa, vilikutwa vinywaji mbalimbali.
AMA KWELI INZI HUFIA KWENYE KIDONDA... SOMA ZAIDI MKASA HUU HAPA