ZA UKWELI SANA

MAONO YA NABII YASPI YAIBUA MINONG'ONO!!! YADAIWA RAIS ALIYEMTABIRIA HATADUMU KAMA ALIYEKUWA MISS TZ SITTI!!!!

Nabii Yaspi atabiri Rais

NABII wa Kanisa la The Revelation lililopo Buza- Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera ameibuka na kusema joto la uchaguzi mkuu ujao (2015) ni balaa kubwa kufuatia maono aliyopewa kwa nyakati tofauti tofauti.

Kana kwamba hiyo haitoshi, Nabii Yaspi alisema anawaona kwenye maono yake baadhi ya wenye nia ya kugombea urais mwakani wanapita kwa waganga wa kienyeji ‘mlingotini’ kwa ajili ya ‘kupulizia’ lakini akasema hawatafanikiwa kwa kuwa yeye alishamwomba Mungu rais ajaye atoke kwake.

Risasi Mchanganyiko likamuuliza: “Nani atashinda urais mwakani?”
Nabii: “Hivi unauliza swali kama hilo kweli wakati huu? Ripoti iliyotolewa (na TWAWEZA iliyomtabiria Lowassa ushindi) imemaliza kila kitu na majibu yako wazi kabisa, labda huyo aliyetajwa aamue kupita njia zisizomfurahisha Mungu ili kuupata huo urais.”
SOMA ZAIDI HAPA

0 Response to "MAONO YA NABII YASPI YAIBUA MINONG'ONO!!! YADAIWA RAIS ALIYEMTABIRIA HATADUMU KAMA ALIYEKUWA MISS TZ SITTI!!!!"

Post a Comment