ZA UKWELI SANA

WEMA AELEZEA WAZIWAZI KISA CHA KUMWAGA DIAMOND!!!! NI KISA CHA HUZUNI KWANI BADO ANAMPENDA SANA!!!!

Diamond na Wema


MISS Tanzania 2006/07 ambaye ni staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amevunja ukimya kwa kuamua kuanika kisa cha yeye kummwaga aliyekuwa mwandani wake, nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.


Akizungumza na Amani katika mahojiano maalum jijini Dar, juzikati, Wema alimwaga ‘ubuyu’ kwamba, yeye ameamua kumpa likizo ndefu Diamond ili kila mmoja aweze kufanya mambo yake ya maana kwa uhuru mkubwa hasa baada ya jamaa huyo kunukuliwa na magazeti pendwa akisema hana mpango wa kuoa jambo ambalo lilimkatisha tamaa na kumwacha njia panda.


AMZUNGUMZIA ZARI
Staa huyo asiyekaukiwa na matukio, alikwenda mbele zaidi kwa kumzungumzia Zari ambapo alisema kuna wanaodai mwanamuziki huyo tajiri yuko kimapenzi na Diamond, lakini yeye haoni ukweli wowote kwani anajua wawili hao wana ‘projekti’ ambayo ni mawazo ya muda mrefu.

MAMBO HAYO!!! UBUYU ZAIDI?? INGIA HAPA

0 Response to "WEMA AELEZEA WAZIWAZI KISA CHA KUMWAGA DIAMOND!!!! NI KISA CHA HUZUNI KWANI BADO ANAMPENDA SANA!!!!"

Post a Comment