ZA UKWELI SANA

BAADA YA PICHA PICHA ZA UTUPU DESIRE LUZINDA AWA SOKO KUBWA UINGEREZA!!!! HAKAMATIKI!!! JONEE HAPA...

Desire Luzinda
Jina la Desire Luzinda sasa limeshika kasi kama moto wa kiangazi jijini London nchini Uingereza. Mwezi wa tatu Mdada huyo aliyevuma kwa picha za utupu na kubatizwa "El nino Desire Luzinda" atakuwa jijini humo kufanya shoo bab kubwa!!! !

Picha hizi zimezidisha mara mia umaarufu wa mrembo huyu ona hizi hapa..... ona na hizi

HAYA WADAU ULE MPAMBANO MTAMU KATI YA BYUTIFU ONYINYE NA THE BOSSLADY UMEHAMIA KWENYE RED CARPET... KAZI NI KWAKO

Diamond kwenye Red carpet South Africa
Ikumbukwe kwa katika tuzo za MTV MAMA, ubavuni mwa Diamond kwenye red carpet alikuwa ni Wema Sepetu aka Madam. 

lakini safari hii tofauti na kwenye tuzo za MTV MAMA, msichana aliyekuwa ubavuni mwa Diamond kwenye tuzo za Channel O ni Zari the BossLady – na hivyo kuthibitisha tetesi zilizovuma kuwa wawili hao ni wapenzi.

WEMA AMWAGA WINO
Baada tu ya tuzo hizo kwisha Wema alipost “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud,”.



VIPI MITOKO HIYO MIWILI???? EMB TUZIKAGUE KWA ZAMU...WEMA... ZARI .... TUHAKIKI

BREAKING NEWS!!!! BUNGE KUENDELEA LEO SAA TANA (5). KUNA JAMBO...

Hali tete bungeni mjadala wa Escrow



Bunge la Tanzania


Ni baada ya kikao cha jana usiku kuvunjika kwa wajumbe kutoridhika na maazimio ya wenzao, Spika aahirisha shughuli za bunge mpaka saa 5 asubuhi.

DIAMOND ACHEKELEA MATOKEO YA MPAMBANO WA WEMA NA ZARI MTANDAONI!!!!!

Mpambano wa Zari na Wema
Diamond ameonekana kupendezewa na hali inayoendelea kwa mashabiki wake hasa pale wanapoendelea kuwapambanisha Wema na Zari kuona nani zaidi. Kwa sasa mashabiki wengi wameendelea kuchuana kiasi cha kushindwa kujua nani ni mzuri zaidi ya mwenzake.

JIMAMA LIMEWAKWIDA VIJANA LINALOWADAI KWA KUNG'ANG'ANIA NYETI ZAO HADI NJEMBA ZIKATOA MAYOWE!!!!!!!!

Mama Ashura akidai hela yake kwa kugawa kipindo kwa wauza chips
Hivi karibuni mama mjasiriamali, aliyetajwa kwa jina moja la Mama Ashura ambaye ni mfanyabiashara wa viazi mviringo, anadaiwa kuwapa kipondo havi njemba watano kisa deni la viazi waliloshindwa kumlipa.

Baada kugawa kipondo havi sana kwa vijana hao ambao walianza kujichekeshachekesha kwa aibu huku kila mmoja akimtegea mwenzake amsogelee yule mama, ndipo mama Ashura alinyanyua beseni lilikuwa na chips na kuku karibu wa laki 2 na kutokomea nao huku akirusha vumbi barabara nzima!!!!

Kisanga hiki cha aina yake kipo chote hapa


MASTAA HAWAISHIWI MAMBO!!!! SIRI YA JOKATE KUGANDANA NA WANAUME KAMA LUBA IKO MIKONONI....

Jokate Mwegelo ameonekana kuwaganda sana wanaume

MWANAMITINDO na mtangazaji kiwango Bongo, Jokate Mwegelo amefunguka kuwa sababu kubwa inayomfanya awe karibu zaidi na wanaume ni marafiki zake wa kike kuwa nje ya nchi.


“Watu wengi wanasema mimi malaya kwa sababu ya ukaribu wangu na wanaume lakini ukweli ni kwamba kampani yangu ya kike kubwa ipo nje ya nchi, sina jinsi,” alisema Jokate.


source: gpl

AMA KWELI NZI HUFIA KWENYE KIDONDA!!!! MFANYABIASHARA MKUBWA AFARIKI AKIFANYA MAPENZI KWENYE GARI!!!!!



Visa vya kufanya mapenzi kwenye magari vinaongezeka
Bukoba. Polisi mkoani Kagera inachunguza kifo cha mmiliki wa ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas Night, Leonard Mtensa (50) ambaye inadaiwa alifariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye gari lake.


Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema Mtensa, ambaye alikuwa na mpenzi wake kwenye gari maeneo ya Buyekera, alifariki dunia kabla ya kufikishwa kituo cha afya cha ELCT Ndolage.
Alisema binti waliyekuwa naye kwenye gari anatokea mkoani Mara na kwamba tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia jana. Alisema baada ya gari lake kupekuliwa, vilikutwa vinywaji mbalimbali.
AMA KWELI INZI HUFIA KWENYE KIDONDA... SOMA ZAIDI MKASA HUU HAPA

INATISHA!! MOVIE CHAFU ZA WASANII WA BONGO ZINAZOWALIPA ZAIDI ZAFICHUKA...NI AIBUUU KUONA!!Post title


Siri nzito yafichuka bongomovies, behind the scene ya maisha ya starehe na matanuzi yasiyokauka kama mvua za el nino yafichuka..Ni ngumu kuamini lakin ukweli ni kwamba huuzwa na msanii mwenzao(Lungi Mwaulanga) na bei zao ndio hizi kwa kila msanii, Wapo wa kuanzia Mil 5 hadi elfu 50...na wateja wakubwa ni Wauza samaki na dhahabu: Jokate (Bofya kuona bei yake)........Wema (Bofya hapa kuona bei yake)....... .Wolper (Bofya hapa kuona bei yake)............Aunt Ezekiel (Bofya hapa kuona bei)............Lulu (Bofya hapa usome dau) .........Jack wa Chuzi (Bofya hapa kuona bei)............Aunt Lulu (Bei yake)...........Vai wa ukweli (Bei hii hapa).........


INAUMA SANA!!!! BINTI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI KICHWANI NA KUPORWA FEDHA DAR!!!!

INAUMA SANA!!!! BINTI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI KICHWANI NA KUPORWA FEDHA DAR!!!!
Binti aitwaye Betty ameuawa kwa kupigwa risasi
DADA aliyefahamika kwa jina moja la Betty ameuawa kwa kupigwa risasi leo saa mbili asubuhi maeneo ya Yombo-Vituka, Temeke jijini Dar es Salaam akiwa kwenye gari aina ya Toyota Pick Up mali ya Tunu Security.
Marehemu Betty ameuawa na watu waliokuwa kwenye bodaboda wakati akiwa kwenye gari la Tunu Security akitokea kituo cha mafuta kuelekea benki.
Watu hao waliokuwa kwenye bodaboda mmoja alimpiga dereva wa gari risasi ya mkononi alafu akampiga Betty risasi ya kichwani huku mlinzi aliyekuwa katika gari hilo akikimbia ambapo watu hao walichukua mfuko uliokuwa na pesa na kutokomea kusikojulikana.
Baadaye mwili wa marehemu ulichukuliwa na polisi na kupelekwa Hospitali ya Chang'ombe,Dar kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
gpl.

OFFICIAL VIDEO: DIAMOND PLATINUMZ - NITAMPATA WAPI. UTAIPATA HAPA!!!!

Nitampata wapi- Diamond Platinumz




UONEVU MKUBWA!!! MWANAFUNZI WA DARASA LA PILI ALAWITIWA MARA KADHAA NA KIJANA WA MIAKA 23!!!!

A kid sodomized


INAUMA!! Ni tukio la kudhalilisha sana mara wazazi walipobaini mtoto wao akionesha maumivu sehemu ya haja kubwa na kumfanya kushindwa kutembea vizuri na hivyo kugundua kuwa mtoto wao alifanyiwa ndivyosivyo sehemu hiyo ya haja kubwa!!!


Kitendo hicho ambacho kimeshafunguliwa mashitaka kimetokea huko nchini Uganda katika wilaya ya Mukono ambapo mtoto huyo Richard Egesa alipendelea kwenda kwa jirani kuangalia TV ambapo mtuhumiwa Sande Ronaldo alikuwa akifanya kazi kama hausiboy na hapo ndipo alipotumia mwanya huo kuishibisha hamu hiyo ya kishetani!!.

Soma zaidi mkasa huu wa kusikitisha hapa

WEMA AELEZEA WAZIWAZI KISA CHA KUMWAGA DIAMOND!!!! NI KISA CHA HUZUNI KWANI BADO ANAMPENDA SANA!!!!

Diamond na Wema


MISS Tanzania 2006/07 ambaye ni staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amevunja ukimya kwa kuamua kuanika kisa cha yeye kummwaga aliyekuwa mwandani wake, nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.


Akizungumza na Amani katika mahojiano maalum jijini Dar, juzikati, Wema alimwaga ‘ubuyu’ kwamba, yeye ameamua kumpa likizo ndefu Diamond ili kila mmoja aweze kufanya mambo yake ya maana kwa uhuru mkubwa hasa baada ya jamaa huyo kunukuliwa na magazeti pendwa akisema hana mpango wa kuoa jambo ambalo lilimkatisha tamaa na kumwacha njia panda.


AMZUNGUMZIA ZARI
Staa huyo asiyekaukiwa na matukio, alikwenda mbele zaidi kwa kumzungumzia Zari ambapo alisema kuna wanaodai mwanamuziki huyo tajiri yuko kimapenzi na Diamond, lakini yeye haoni ukweli wowote kwani anajua wawili hao wana ‘projekti’ ambayo ni mawazo ya muda mrefu.

MAMBO HAYO!!! UBUYU ZAIDI?? INGIA HAPA

MAONO YA NABII YASPI YAIBUA MINONG'ONO!!! YADAIWA RAIS ALIYEMTABIRIA HATADUMU KAMA ALIYEKUWA MISS TZ SITTI!!!!

Nabii Yaspi atabiri Rais

NABII wa Kanisa la The Revelation lililopo Buza- Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera ameibuka na kusema joto la uchaguzi mkuu ujao (2015) ni balaa kubwa kufuatia maono aliyopewa kwa nyakati tofauti tofauti.

Kana kwamba hiyo haitoshi, Nabii Yaspi alisema anawaona kwenye maono yake baadhi ya wenye nia ya kugombea urais mwakani wanapita kwa waganga wa kienyeji ‘mlingotini’ kwa ajili ya ‘kupulizia’ lakini akasema hawatafanikiwa kwa kuwa yeye alishamwomba Mungu rais ajaye atoke kwake.

Risasi Mchanganyiko likamuuliza: “Nani atashinda urais mwakani?”
Nabii: “Hivi unauliza swali kama hilo kweli wakati huu? Ripoti iliyotolewa (na TWAWEZA iliyomtabiria Lowassa ushindi) imemaliza kila kitu na majibu yako wazi kabisa, labda huyo aliyetajwa aamue kupita njia zisizomfurahisha Mungu ili kuupata huo urais.”
SOMA ZAIDI HAPA

LOL!! BWANA HARUSI APIGA MWEREKA CHINI NA KUZIMIA PALE TU BIHARUSI ALIPOFUNULIWA USO!!!!!! NDOA HIYO....

LOL!! BWANA HARUSI APIGA MWEREKA CHINI NA KUZIMIA PALE TU BIHARUSI ALIPOFUNULIWA USO!!!!!! NDOA HIYO....
Bi harusi apewa talaka siku ya harusi.Picha niaba ya gazeti la Daily Mirror nchini Uingereza
Bwana harusi mmoja kutoka Saudi Arabia amempa talaka mkewe siku ya harusi baada ya kumuona uso wake kwa mara ya kwanza na kuzimia wakati mpiga picha alipotaka kuwapiga picha.
Maharusi hao kutoka mji wa magharibi wa Saudia,Medinah walikubaliana kuoana licha ya kutoonana uso kwa uso,swala ambalo ni utamaduni mkubwa wa mataifa ya mashariki ya kati.
Mara tu alipofunua uso wake ili wapige picha... lol! bwana harusi akazimia kisha akang'aka, '' Si wewe msichana niliyetaka kuoa,si wewe kamwe niliyedhani '' kwa hivyo nakupa talaka''alisema bwana harusi.
Baada ya talaka hiyo ilikuwa ni zamu ya biharusi kuzimia!!!!!!!
Habari hii yote ya ukweli mtupu iko hapa

MASKINI LULU!! JINAMIZI LA MAUAJI KUMFUNGULIA MWAKA MPYA WA 2015!!!! YADAIWA MAUAJI YAMEZIDI!!!!

Kesi ya mauaji ya Kanumba yamsubiri Lulu mwakani

KESI ya kuua bila kukusudia inayomkabili mtoto mzuri wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imewekwa kiporo kufuatia kuwepo kwa kesi nyingi za mauaji mahakamani na uhaba wa majaji kwani wengi wataenda likizo.


Lulu anakabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake, Steven Kanumba, Aprili 7, 2012  maeneo ya Vatican-Sinza jijini Dar.Kifo cha Kanumba kilichotokea nyumbani kwake, kilidaiwa kilitokana na kuangukia sehemu ya nyuma ya kichwa ambapo alipata mtikisiko wa ubongo kisha kuzikwa kwenye Makaburi ya Kinondoni, Dar.

CREDITS: GPL

NI KAMA JARIBU!! VIELELEZO KUTOKA RITA KASHFA YA KUGHUSHI YA SITTI MTEMVU VYATUA KWA KAMANDA KOVA!!!!!

Vielelezo vya Sitti toka RITA vyatua Polisi



Dar es Salaam/ Arusha. Kashfa ya aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu imechukua sura mpya baada ya Wakala wa Uzazi, Vifo na Ufilisi (Rita) kusema kuwa wamekamilisha upekuzi wa taarifa alizotumia kuombea cheti cha kuzaliwa na vielelezo hivyo vimelekwa polisi vikafanyiwe kazi.

Wakizungumza na gazeti la Mwananchi kwa nyakati tofauti jana, Ofisa mtendaji mkuu wa Rita, Phillip Saliboko na Meneja masoko na mawasiliano, Josephat Kimaro walisema upekuzi wa nyaraka zilizotumiwa na Sitti uliofanywa na wanasheria wao, tayari umekamilika.


Sitti Mtemvu aliingia kwenye kashfa ya kudanganya umri wake na nyaraka zake mbalimbali zilionyesha alizaliwa 1989, umri ambao umepitiliza ule unaotakiwa kwa mshiriki wa mashindano ya Miss Tanzania, huku cheti chake kikionyesha alizaliwa 1991, hivyo kulazimika kuvua taji hilo.

TANZANIA KUWEKA HISTORIA DUNIANI!!! SABABU 5 ZA HAPPINESS KUTAWAZWA MALKIA WA DUANIA!!!!

Happiness Watimanywa katika mapozi

Mshindi wa Shindano la Miss Tanzania 2013, Happiness Watimanywa, Jumamosi ya wiki iliyopita, alikwea pipa kuelekea jijini London, Uingereza kwa ajili ya kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World, yanayotarajiwa kutimua vumbi Desemba 14, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Excel London.

Licha ya ‘magumashi’ ya Kamati ya Miss Tanzania, kwa kumpa maandalizi duni, Happiness atashinda kwa vigezo vifuatavyo:

1. Mvuto wa Sura. Happiness ana sura ambayo ikipambwa na tabasamu kila jaji ataweka tick!
2. Tumbo lisiloshiba. baba!! Masaa 24 tumbo la Happy halitoi mistari ya kontua. Umbo lake halijaathiriwa na chips mayai!

3. Uwezo wa kujieleza kwa ufasaha. Happiness hapapatiki anaposogezewa 'microphone' na hana 'eeeh... eeeh' anapojibu swali.
4. Elimu: Kiwango cha Elimu kinampa uwezo wa kupambana kimataifa.
5. Nchi. Kumekuwa na ongezeko la 'presha' kwamba Miss World isipendelee nchi zilizoendelea pekee. Tanzania kama nchi inayopambana kutambulika kimataifa inawezekana ikapewa jicho tofauti!

KUMBUKA MUNGU ALICHAGUA VITU DHAIFU KUFANYA MAKUBWA!!!! SEMA AMINA!!!

MTUMEEEE!!! NDIVYO DEREVA WA BODABODA ALIVYOLIA PALE MAITI ALIYOBEBA KUMWOMBA ASIMAME KWANZA!!!!!

Add caption
HA! HA! HA!! VITU VINGINE INABIDI UCHEKE LAKINI SI VYA KUCHEKA!!! Kumetokea tukio ambalo linaaminika laweza kuwa ka kufungia mwaka 2014 pale dereva wa bodaboda aliyekuwa ametangulia na maiti kuipeleka kuzika kujikuta akiiacha pikipiki yake na kutimua mbio mara aliposikia maiti aliyobeba ikifurukuta na kisha kukohoa!!!!!!!!!!!
Tukio hilo limetokea Jumapili hii huko nchini Uganda katika wilaya ya Rakai pale maiti ya Zakaria Kasagga, mvuvi maarufu, iliyokaa kwa siku tatu kufufuka masaa mawili tu kabla mazishi yake!!!!!
Kama ubuyu haukupitagi nusu zama hapa.

CHEZEA TAMU WEYE!!! WANAUME NCHINI KENYA WAMEONESHA MAPEMAAA KUPUUZA WITO WA KUSUSIA NGONO LEO!!!!!

CHEZEA TAMU WEYE!!! WANAUME NCHINI KENYA WAMEONESHA MAPEMAAA KUPUUZA WITO WA KUSUSIA NGONO LEO!!!!!
Bwana Njoka amewataka wanaume kususia vitendo vya mapenzi
 kama njia ya kulaani dhuluma dhidi ya wanaume
Wanaume nchini Kenya wameonesha hisia tofauti tofauti kuhusu wito wa kiongozi wa shirika la maendeleo la wanaume nchini humo kwamba hii leo wasusie tendo la ndoa wasionyeshe hisia za mapenzi kwa wanawake iwe umeoa au hujaoa.
Wiki jana kiongozi huyo Nderitu Njoka amewataka wanaume nchini Kenya kufanya hivyo kuadhimisha siku ya kimataifa ya uhuru kwa wanaume inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 11 mwezi Novemba.
Pata stori nzima hapa

UNGA UNAZIDI KUCHAFUA MAKANISA SASA!!!! VINARA NI WANAOJIITA MAASKOFU, WACHUNGAJI KILA ASUBUHI!!!!!

UNGA UNAZIDI KUCHAFUA MAKANISA SASA!!!! VINARA NI WANAOJIITA MAASKOFU, WACHUNGAJI KILA ASUBUHI!!!!!
Unga unachafua makanisa
Kufuatia oparesheni kali inayofanywa na Kikosi cha Kupambana na Kudhibiti Madawa ya Kulenya Tanzania vigogo kadhaa wakiwemo viongozi wa dini wamekamatwa.
Hivi karibuni kikosi hicho kimemkamata askofu (mwangalizi mkuu wa kanisa) aliyetambulika kwa jina la Emeka Nwachukwu Mert (pichani) raia wa Nigeria ambaye ana kanisa la kiroho maeneo ya Sinza jijini Dar.

Januari 11, mwaka huu, Askofu Moris Charles alidaiwa kukamatwa na polisi maeneo ya Chinga Mbili mkoani Lindi akiwa na kilo 210 za madawa ya kulevya aina ya heroine yenye thamani ya shilingi bilioni 9.4, kesi yake bado inaendelea mahakamani mkoani humo.
Juni 8, 2011 polisi walifanikiwa kumkamata Mchungaji Kapupu Denis Okechuku wa kanisa la kilokole lililopo Kinondoni Biafra akiwa na kilo 81 za cocaine, kesi yao bado ipo Mahakama ya Kisutu, Dar.
CREDITS: GPL.

INGEKUWA WE UNGEFANYAJE? NUHU ACHEZEA KIPIGO MATATA KUTOKA KWA SHILOLE!! YEYE ADAI NI MAHABA NIGARAGAZE!!!!

Nuhu adai kudundwa na Shilole ni mahaba niue
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda...tazama hapa... amefunguka kuwa  watu wanaomsema vibaya kuhusu yeye...ona hapa... kupewa kichapo na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ wanakosea kwani anaamini kufanywa hivyo ni mahaba....ona hapa...

MAMA WEEE!!!! KINA MAMA NINI HIKI SASA HARUSINI!!! MIJIMAMA HII YAWATIA WATU MAJARIBUNI NA KUZUA BALAA!!!!

MAMA WEEE!!!! KINA MAMA NINI HIKI SASA HARUSINI!!! MIJIMAMA HII YAWATIA WATU MAJARIBUNI NA KUZUA BALAA!!!!
 Mama Sabra akijiachia kwa raha zake bila kujali matokeo.
Mtu mzima ovyoo! Akina mama watatu ambao ni wake za watu,...ona hapa... wanaounda Kundi la Heshima Pesa Shikamoo Makelele lenye maskani yake maeneo ya Mawenzi mjini Morogoro...ona hapa... wanadaiwa...ona hapa... kuwachefua baadhi ya watu baada ya kujitoa fahamu na kumwaga ‘lazi’ hadharani na mbaya zaidi mbele ya watoto wadogo.
...shuhuidia zaidi hapa....

KESI BADO MBICHIIII: SASA KIFUNGO CHA KUGUSHI KINAMUITA SITTI MTEMVU!!!! NABII YASPI ADAI NI KONDOO ALIYEPOTEA!!!!

KESI BADO MBICHIIII: SASA KIFUNGO CHA KUGUSHI KINAMUITA SITTI MTEMVU!!!! NABII YASPI ADAI NI KONDOO ALIYEPOTEA!!!!
Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 akipokea maombi ya nguvu kutoka kwa Nabii Yaspi Bendera 
Mapya hayo yameibukia ndani ya Kanisa la Revelation Church lililopo Buza–Kipera jijini Dar....matukio zaidi... kwa Nabii Yaspi Bendera ambaye amezungumzia ishu ya Sitti kujivua  taji mwenyewe kwamba ni kuhama kanisa. ....!!!!...ona hapa...

Hata hivyo, Sitti ana kesi ya kujibu kutoka Rita na Idara ya Uhamiaji ya kughushi cheti cha kuzaliwa...ona hapa... na kwa sheria za Tanzania, mtu akithibitika kudanganya umri kifungo chake ni miaka 3 jela!!!!...zaidi hapa...


GWAJIMA AONGEZA KASI KATIKA KUIFUKUZIA MISUKULE HASA MIKOA YENYE BARABARA MBOVU!!! ASHUSHA CHOPA!!!

GWAJIMA AONGEZA KASI KATIKA KUIFUKUZIA MISUKULE HASA MIKOA YENYE BARABARA MBOVU!!! ASHUSHA CHOPA!!!
Helkopta ya Mch. Gwajima
Helikopta ya Mchungaji wa href="http://kichwatz.blogspot.com/2014/11/mch-gwajima-wa-ufufuo-na-uzima-azindua.html">...matukio zaidi... Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima imezinduliwa leo hii katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar na kuhudhuriwa na maaskofu wa makanisa mbalimbali wa madhehebu ya Kikristo nchini....tukio la 1...
Mgeni rasmi ...tukio la 2...katika Uzinduzi huo alikuwa ni Mbuge wa Monduli, Edward Lowassa. Helikopta hiyo kazi yake...tukio la 3... ni kutoa msaada wa usafiri wa haraka wakati wa dharura na kuhubiria injili kupitia....tukio la 4... tukio la 5... tukio la 6...

MCH. GWAJIMA WA UFUFUO NA UZIMA AZINDUA HELKOPTA YAKE KWA MBWEMBWE!!! SASA KUIFUATA MISUKULE HUKOHUKO!!!

MCH. GWAJIMA WA UFUFUO NA UZIMA AZINDUA HELKOPTA YAKE KWA MBWEMBWE!!! SASA KUIFUATA MISUKULE HUKOHUKO!!!
Helkopta ya Mch. Gwajima
Helikopta ya Mchungaji wa href="http://kichwatz.blogspot.com/2014/11/mch-gwajima-wa-ufufuo-na-uzima-azindua.html">...matukio zaidi... Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima imezinduliwa leo hii katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar na kuhudhuriwa na maaskofu wa makanisa mbalimbali wa madhehebu ya Kikristo nchini....tukio la 1...
Mgeni rasmi ...tukio la 2...katika Uzinduzi huo alikuwa ni Mbuge wa Monduli, Edward Lowassa. Helikopta hiyo kazi yake...tukio la 3... ni kutoa msaada wa usafiri wa haraka wakati wa dharura na kuhubiria injili kupitia....tukio la 4... tukio la 5... tukio la 6...

RAIS KIKWETE AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME NCHINI MAREKANI. INGIA HAPA KWA UNDANI ZAIDI.

Rais Kikwete akizungumza na daktari bingwa mpasuaji Edward Shaeffer muda mfupi kabla ya kufanyiwa upasuaji
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE jana alfajiri Jumamosi Novemba 8, 2014
rais-kikwete-afanyiwa-upasuaji-wa-tezi.html">...see more...alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostate gland) katika hospitali ya Johns Hopkins huko Baltimore katika jimbo la Maryland nchini Marekani....see more...


Uperesheni hiyo ilichukua muda wa ...see more...saa moja na nusu mpaka sasa Kikwete bado yupo wodini akiendelea na matibabu lakini hali yake inaendelea vizuri....see more...


TUNAMWOMBEA RAIS KIKWETE APONE HARAKA!!! ...see more...

LILLIAN KAMAZIMA NDIYE MISS TANZANIA MPYA!!! JE MNA MASWALI ZAIDI WATANZANIA??? MKAGUENI HAPA!!

LILLIAN KAMAZIMA NDIYE MISS TANZANIA MPYA!!! JE MNA MASWALI ZAIDI WATANZANIA??? MKAGUENI HAPA!!
Lilian Kamazima

http://kichwatz.blogspot.com/2014/11/lillian-kamazima-ndiye-miss-tanzania.html Lillian Kamazima ndiye Miss Tanzania 2014!!! ...see more...Badiliko hilo linakuja baada ya ...see more...Sitti Mtemvu kujivua taji hilo la Miss Tanzania aliloshinda mwaka huu mjini Dar es Salaam baada ya kuzongwa na mashabiki kuhusu umri wake....see more...


Akizungumza na BBC Mkurugenzi wa Lino International Agency Hashim Lundenga waandaji wa shindano la Miss Tanzania amesema kuwa...see more... mrembo huyo amejivua mwenyewe taji hilo kwa...see more... kuandika barua bila kushinikizwa na mtu yeyote.
Sasa hamu imebaki kwa BASATA kujua nini walichokibaini katika uchunguzi wao.

Habari yote imelala hapa